"Ajali tatu ndani ya mwaka mmoja" - Dude

Msanii wa filamu Dude alivyotembelewa na baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki alivyopata ajali

Msanii wa filamu Bongo Kulwa Kikumba maarufu kama Dude amesema mwaka jana 2020 haukuwa mwaka mzuri kwake kwani alipata ajali tatu za kutoa uhai wake lakini anamshukuru Mungu alifanikiwa kutoka salama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS