"Mhe Waziri sema neno kwenye vifurushi" - Steve

Kulia ni Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Faustine Ndugulile, kushoto ni msanii wa filamu Steve Nyerere

Msanii wa filamu Steve Nyerere amemuomba Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Faustine Ndugulile kuingilia kati na kutoa japo neno moja kuhusu changamoto iliyokuwepo kwenye mitandao ya simu hasa upande wa vifurushi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS