Vita ya KO na kulinda heshima yatangazwa rasmi

Anthony Joshua na Tyson Fury

Wanamasumbwi wa uzito wa juu kutoka Uingereza Anthony Joshua na Tyson Fury, wamesaini mkataba wa makubaliano ya kupigana mapambano mawili, pambano hilo linalotajwa kuwa kubwa kwenye historia ya masumbwi, na pambano la kwanza linatarajiwa kufanyika kati ya mwezi Juni na Julai mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS