Afungwa siku 1 baada kumuua mumewe kwa Panga

Picha Truphena Ndonga aliyemuua mumewe kwa panga

Mwanamke kutoka Kaunti ya Siaya nchini Kenya, Truphena Ndonga amefunguka kusema ameona miujiza wa ajabu ambao hakuutarajia baada ya kuhukumiwa kifungo cha siku moja kwa kosa la kumuua mumewe kwa Panga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS