Wananchi wa Mwanza waliojitokeza kumuaga Hayati Dkt. John Magufuli
Maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza na wa maeneo jirani wamejitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli, katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini humo.