Bocco na matumaini ya Taifa Stars kufuzu AFCON
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', John Bocco amesema ana matumaini makubwa Stars ina nafasi ya kufanya vizuri na kufuzu michuano ya kimataifa ya Afrika kwa timu za taifa 'AFCON' 2021 itakayofanyika nchini Cameroon.