Rais Samia kuwa Mwenyekiti wa CCM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole, amesema kuwa Kamati Kuu imeelekeza kuwa ndani ya muda mfupi ujao utaitishwa mkutano mkuu kwa ajili ya kupendekeza jina la atakayekuwa Mwenyekiti wa chama hicho baada ya Dkt. John Magufuli, kufariki dunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS