Mbunge akerwa Watanzania kuitwa wanyonge Mbunge wa viti maalum Mh. Conchesta Rwamlaza Mbunge wa viti maalum Mh. Conchesta Rwamlaza amesema Watanzania sio wanyonge bali wanauwezo wakipangiwa mipango mizuri na kuelekezwa watasaidia kuleta maendeleo katika nchi. Read more about Mbunge akerwa Watanzania kuitwa wanyonge