Pato la Taifa lakuwa kwa asilimia 6.9

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tathimini za utekelezaji wa mpango wa pili wa maendeleo ya  taifa limeonesha kuwa pato la taifa lilikuwa kwa asilimia 6.9.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS