Pato la Taifa lakuwa kwa asilimia 6.9 Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tathimini za utekelezaji wa mpango wa pili wa maendeleo ya taifa limeonesha kuwa pato la taifa lilikuwa kwa asilimia 6.9. Read more about Pato la Taifa lakuwa kwa asilimia 6.9