Rais Magufuli afariki Dunia Machi 17, 2021

Marehemu Dkt. John Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amefariki dunia leo Machi 17, 2021, majira ya saa 12:00 Jioni. Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan ametangaza kupitia Televisheni ya Taifa TBC.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS