Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka Watanzania kuacha kusambaza na kufuatilia taarifa za uzushi, badala yake wawafuate wahusika ili kujua undani wa taarifa hizo.