"Mimi si Msemaji wa Ikulu"- Mambosasa

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka Watanzania kuacha kusambaza na kufuatilia taarifa za uzushi, badala yake wawafuate wahusika ili kujua undani wa taarifa hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS