Guardiola asema haya baada ya kufuzu robo UEFA

Wachezaji wa Manchester City wakishangilia moja ya bao awlilofunga usiku wa jana dhidi ya Borussia Monchegladbach.

Kocha wa klabu ya Manchester City, Pep Guardiola amesema kuwa wapo makini sana baada ya timu yake kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu bingwa barani Ulaya usiku wa kuamkia leo kwa kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Borussia Monchengladbach ya Ujerumani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS