Joel Embiid nje wiki 2 hadi 3, NBA
Timu ya Philadelphia 76ers ya ligi kuu ya kikapu mchini Marekani, leo tarehe 15 Machi 2021 imethibitisha kuwa mchezaji wake nyota, Joel Embiid atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki 2 hadi 3 baada ya vipimo vya MRI kuonesha amevunjika mfupo mdogo kwenye goti lake la kushoto.