Joel Embiid nje wiki 2 hadi 3, NBA

Mchezaji nyoTa wa timyu ya Philadelphia 76ers, Joel Embiid baada y akupata maumivu ya goti.

Timu ya Philadelphia 76ers ya ligi kuu ya kikapu  mchini Marekani, leo tarehe 15 Machi 2021 imethibitisha kuwa mchezaji wake nyota, Joel Embiid atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki 2 hadi 3 baada ya vipimo vya MRI kuonesha amevunjika mfupo mdogo kwenye goti lake la kushoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS