Azam FC yashangazwa na maamuzi ya CAF

Uwanja wa Azam Complex

Klabu ya Azam FC kupitia kwa Afisa habari wake Zakaria Thabit imesema, haijapokea taarifa za uwanja wao wa Azam Complex kufungiwa na CAF, kama taarifa hizo zinavyosambaa kwenye mitandano ya kijamii na kwa sasa wanasubiri taarifa kujua kwa nini klabu ya Namungo imeambiwa isiutumie

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS