Waziri aelezea jeshi linavyoweza kuleta furaha
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene, amelitaka jeshi la polisi mkoa wa Arusha kutoa huduma nzuri kwa wananchi ili waweze kujenga imani kubwa kwa jeshi hilo kwani wao ndiyo wenye mamlaka ya kuleta amani kwa jamii au mitafaruko.