Fahamu wasanii ambao hawapaswi kufanyakazi UNFPA
Mkuu wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu Duniani kwa upande wa Tanzania (UNFPA), Warren Bright, amesema kuwa shirika hilo haliwezi kufanya kazi na wasanii wanaopenda kiki na kudhalilisha wanawake kupitia mitandao ya kijamii wakiamini kufanya hivyo wana-trend.