Hongera Motsepe tunakukumbusha 'ahadi ni deni'

Raisi Mteule wa CAF Patrice Motsepe

Patrice Motsepe amechaguliwa kuwa Rais wa 7 wa shirikisho la soka Africa (CAF), kwenye uchaguzi mkuu wa mapema ijumaa hii ya tarehe 12/03/2021 uliofanyika Rabat Morocco

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS