Chanzo cha Malaika kutoongea na Baba yake mwaka 1

Msanii Malaika Tz

Msanii wa kike wa BongoFleva Malaika amesema wakati anaanza muziki alikutana na changamoto ambayo ilimfanya kumaliza mwaka mzima bila ya kufanya mazungumzo na baba yake ambaye alikuwa anaamini muziki ni uhuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS