"Mapenzi mwisho miaka miwili au mitatu" - Justus

Msaikolojia Justus August

Msaikolojia Justus August amesema mwisho wa kudumu kwenye mahusiano ya kawaida ni miaka miwili mpaka mitatu na ikivuka baada ya hapo basi inakuwa ni bahati kwani yanakuwa tayari yameshavunjika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS