Waliomteka Mchina Arusha wakamatwa Dar 

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha ACP Justine Masejo

Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumteka mtu mmoja raia wa China ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya Bonanza ya Jijini Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS