Kocha wa Yanga amtaja anayeihujumu timu hiyo
Aliyekuwa kocha wa magolikipa wa klabu ya Yanga, Mrundi, VladmirNiyonkuru amefunguka mambo mengi baada ya benchi la ufundi la klabu hiyo kuvunjwa siku ya jana ya tarehe 8 Machi 2021 kufuatia mwenendo wa matokeo yasiyoridhisha kwa viongozi na wanachama wa timu hiyo.