Waziri azitaja online TV zitakazofungiwa

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Faustine Ndugulile

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Faustine Ndugulile, amesema kuwa online TV zote ambazo zinafanya mahojiano ya kudhalilishana na zile zinazokiuka maadili na utamaduni wa nchi zitafungiwa na wamiliki wake kuchukuliwa hatua za kisheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS