Mjerumani aeleza alivyompenda Mmaasai

Stephanie Fuchs akiwa na mume wake Sokoine na mtoto wao

Stephanie Fuchs ni mzaliwa wa nchini Ujerumani, ameeleza safari yake ya mahusiano mpaka ndoa na mume wake Sokoine ambaye ni Mmasai na mkazi wa Kiteto na kusema kuwa walikutana na mume wake huyo miaka 9 iliyopita na alimuona kwenye Kisiwa cha Mafia na kuvutiwa naye.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS