Mbappe aivusha PSG robo fainali ligi ya mabingwa
Mshambuliaji nyota wa klabu ya PSG ya nchini Ufaransa, Kylian Mbappe amefanikiwa kuisaidia klabu yake kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu bingwa barani Ulaya baada ya kufunga bao moja katika mchezo uliomalizika kwa sare ya bao moja dhidi ya Barcelona usiku wa jana.