Nandy avunja ukimya, afunguka ishu ya Ukimwi
Msanii Nandy 'The African Princes' amevunja ukimya kwa kutaka watu waache kuumuliza kuhusu kudaiwa kuwa na ugonjwa wa Ukimwi kwa sababu itawafanya wale wanaoumwa kweli ugonjwa huo wajione sio binaadam wa kawaida.