Rais Dk Mwinyi azidi kuwaamini ACT Zanzibar Kushoto ni Omar Said Shaaban, aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda na kulia ni Nassor Mazrui, aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Afya Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, amewateua wanachama wawili wa Chama cha ACT-Wazalendo, Omar Said Shaaban na Nassor Ahmed Mazrui kuwa mawaziri. Read more about Rais Dk Mwinyi azidi kuwaamini ACT Zanzibar