Rais Dk Mwinyi azidi kuwaamini ACT Zanzibar 

Kushoto ni Omar Said Shaaban, aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda na kulia ni Nassor Mazrui, aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Afya

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, amewateua wanachama wawili wa Chama cha ACT-Wazalendo, Omar Said Shaaban na Nassor Ahmed Mazrui kuwa mawaziri. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS