Country Boy afunguka ukimya wa Cheed na Killy

Msanii wa HipHop Country Wizzy

Rapa Country Wizzy kutoka lebo ya Konde Gang ya Harmonize amefunguka ukimya wa wasanii Killy na Cheed ambao tangu wamehamia kwenye lebo hiyo wakitokea Kings Music ya Alikiba wamekuwa kimya kwenye kuachia kazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS