Muigizaji Monalisa akitambulishwa na Fatema Dewji kuwa msemaji wa Simba Queens
Mara baada ya kutambulishwa kuwa msemaji wa klabu ya Simba Queen msanii wa filamu na shabiki wa klabu hiyo Yvonne Cherrie 'Monalisa' amewataka mashabiki wamchagulie jina la kazi.