Aunt Sadaka atoa neno mjadala wa wana Twitter
Mshauri wa malezi, mahusiano na ndoa Aunt Sadaka, amesema kuwa ili kuepusha migogoro kati ya Mama mkwe na mkwewe wa kike ni kuhakikisha kila mtu anaheshimu mipaka yake na kwamba kila mmoja wao anayonafasi kubwa kwa huyo kijana wa kiume.