Miaka 36 ya Ronaldo, makali ya miaka 12 iliyopita
Nyota wa klabu ya Juventus ya Italia pamoja na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameendelea kuweka rekodi mbalimbali kwenye soka ambapo usiku wa kuamkia leo Machi 3, 2021, amefikisha mechi 600 za ligi ngazi ya klabu.