Miaka 36 ya Ronaldo, makali ya miaka 12 iliyopita

Ronaldo akipiga mpira mbele ya wachezaji wa Spezia

Nyota wa klabu ya Juventus ya Italia pamoja na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameendelea kuweka rekodi mbalimbali kwenye soka ambapo usiku wa kuamkia leo Machi 3, 2021, amefikisha mechi 600 za ligi ngazi ya klabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS