Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman akila kiapo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amemuapisha Othman Masoud Othman Sharif kuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar kufuatia uteuzi alioufanya hapo jana Machi 01, 2021.