Huu hapa Mpango wa Simba SC dhidi ya Al Merrick
Klabu ya Simba SC imetangaza kikosi cha wachezaji 25 watakao safiri kueleka nchini Sudan leo, tayari kwa mchezo wa ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya Al Merrikh utakao chezwa Jumamosi Machi 6, 2021. Mchezaji Bernard Morrison hajajumuishwa kwenye kikosi kinachosafiri.