Atalanta Hawks yamtimua Lyoyd Pierce

Kocha wa Atalanta Hawks, Lyoyd Pierce aliyetimuliwa kazi.

Timu ya Atalanata Hawks inayoshhiriki ligi ya kikapu nchini Marekani NBA, imethibitisha kumfukuza kazi aliyekuwa kocha wake, Lyoyd Pierce sababu ikielezwa, timu hiyo kuwa na mwenendo mbaya wa matokeo pamoja na hali ya kutoelewana kwa baadhi ya wachezaji nyota.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS