Mkamia maji hayanywi,Zlatan kuwakosa Man United
Imethibitishwa kwamba mshambuliaji tegemezi wa timu ya AC Milan Zlatan Abrahimovic, atakosekana katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Europa, kutokana na majeraha aliyoyapata jumapili hii katika mchezo wa ligi kuu 'Serie A' walipocheza na AS Roma.