Mkamia maji hayanywi,Zlatan kuwakosa Man United

Zlatan Ibrahimovic ataikosa timu yake ya zamani Manchester United

Imethibitishwa kwamba mshambuliaji tegemezi wa timu ya AC Milan Zlatan Abrahimovic, atakosekana katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Europa, kutokana na majeraha aliyoyapata jumapili hii katika mchezo wa ligi kuu 'Serie A' walipocheza na AS Roma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS