Jose Maria Bartomeu (kushoto) na Sandro Rosell (kulia)
Ndani ya miaka 10, marais wawili wa klabu ya soka ya Barcelona ya Hispania, Sandro Rosell na Jose Maria Bartomeu hawajamaliza awamu zao za uongozi. Wameondolewa madarakani kwa shinikizo na kisha kushtakiwa.