Atimiza ndoto ya kuoa wake wawili kwa siku moja

Picha ya Babangida Sadiq na wake zake wote wawili

Kiongozi wa chama cha vijana All Progressives Congress (APC) Mjini Abuja nchini Nigeria, Babangida Sadiq amefunga ndoa na wake zake wawili kwa siku moja huku akidai ametimiza ndoto zake ambazo alikuwa anatamani kufanya hivyo tangu alivyokuwa mtoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS