Atimiza ndoto ya kuoa wake wawili kwa siku moja
Kiongozi wa chama cha vijana All Progressives Congress (APC) Mjini Abuja nchini Nigeria, Babangida Sadiq amefunga ndoa na wake zake wawili kwa siku moja huku akidai ametimiza ndoto zake ambazo alikuwa anatamani kufanya hivyo tangu alivyokuwa mtoto.