Mrithi wa Maalim Seif apatikana

Othman Masoud Othman Sharif, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar mteule

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi, amemteua Othman Masoud Othman Sharif, kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS