Mpango wa JKT mbele ya Simba SC
Ligi Kuu soka Tanzania bara itaendelea leo kwa mchezo mmoja ukiwa ni mzunguko wa 22 katika uwanja wa Benjamini Mkapa, mabingwa watetezi Simba SC watakuwa wenyeji wa JKT Tanzania ya Dodoma mchezo utapigwa majira ya Saa 1:00 usiku.