Maabara ya Taifa yaondolewa jukumu la COVID-19

Mfano wa sampuli iliyochukuliwa kwaajili ya kufanyiwa vipimo vya Covid-19.

Maabara ya Taifa imeondolewa katika orodha ya chaguo (option) la vituo vya kutolea sampuli za kupima COVID -19 kwa njia ya RT - PCR kwa wasafiri katika mfumo wa kutuma miadi wa pimacovid.moh.go.tz. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS