Jina la mrithi wa Maalim Seif tayari
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema tayari wameshapendekeza jina la atakayemrithi aliyekuwa Makamu wa Rais wa kwanza Zanzibar na Mwenyekiti wa chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad aliyefariki dunia tarehe 17 mwezi huu.