Waziri ampa mkandarasa siku 7

Naibu Waziri wa Maji Maryprisca Mahundi

Naibu Waziri wa Maji Maryprisca Mahundi, ametoa siku 7 kwa mkandarasi Petty Construction, kurudisha pampu ya kusukumia maji aliyoiondoa baada ya kunyang'anywa mradi wa maji wa Nyamtukuza uliokwama kwa miaka saba na kusababisha adha ya maji wilayani Nyang'hwale.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS