Kauli ya Dkt. Bashiru baada ya kuapishwa Ikulu 

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Bashiru Ally, akizungumza mara baada ya kula kiapo

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Bashiru Ally, amemshukuru Rais Dkt. John Magufuli, kwa kundelea kumuamini huku akiwaomba Watanzania waendelee kumuombea ili aweze kukidhi matarajio ya Rais Dkt. Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS