Tumeifunga Atletico kwa ushawishi- Tuchel
Kocha wa Chelsea Thomas Tuchel amewapongeza wachezaji wake kwa ushindi wa bao 1-0 walioupata dhidi ya Atletico Madrid ya Hispania jana usiku, kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya 16 ligi ya mabingwa barani Ulaya.