Tumeifunga Atletico kwa ushawishi- Tuchel

Olivier Giroud akifunga bao

Kocha wa Chelsea Thomas Tuchel amewapongeza wachezaji wake kwa ushindi wa bao 1-0 walioupata dhidi ya Atletico Madrid ya Hispania jana usiku, kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya 16 ligi ya mabingwa barani Ulaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS