Wajumbe wa Seneti wa Ufaransa waipongeza Tanzania
Wajumbe wa Bunge la juu la Ufaransa (SENATE) limeipongeza Tanzania kwa kuwa kinara wa masuala ya utulivu,amani,ulinzi na usalama katika eneo la maziwa makuu hususani katika maeneo ya Mashariki ya Kongo pamoja na eneo la kaskazini mwa Msumbiji.