Wajumbe wa Seneti wa Ufaransa waipongeza Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi

Wajumbe wa Bunge la juu la Ufaransa (SENATE) limeipongeza Tanzania kwa kuwa kinara wa masuala ya utulivu,amani,ulinzi na usalama katika eneo la maziwa makuu hususani katika maeneo ya Mashariki ya Kongo pamoja na eneo la kaskazini mwa Msumbiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS