Mrembo aliyezaa na Barakah afunguka mazito

Kushoto ni Caren Simba, kulia ni Barakah The Prince na Najdattan

Mzazi mwenza wa msanii Barakah The Prince, Caren Simba amesema aliamua kuachana na msanii huyo wakati ana ujauzito wake baada ya kuona ameanzisha mahusiano mengine na Najdattan.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS