Mrembo aliyezaa na Barakah afunguka mazito Kushoto ni Caren Simba, kulia ni Barakah The Prince na Najdattan Mzazi mwenza wa msanii Barakah The Prince, Caren Simba amesema aliamua kuachana na msanii huyo wakati ana ujauzito wake baada ya kuona ameanzisha mahusiano mengine na Najdattan. Read more about Mrembo aliyezaa na Barakah afunguka mazito