Malengo ni kumchapa Al Ahly- Matola

Makocha wa Simba SC

Kocha msaidizi wa Simba SC Selemani Matola amesema wamejipanga kuhakikisha wanashinda mchezo wao wa kundi A wa ligi ya mabingwa Afrika dhidi Al Ahly Misri mchezo utakao chezwa kesho jijini Dar es salaam, wakati nahodha John Bocco anaimani mbizu za benchi la ufundi zitawapa ushindi kesho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS