Simba yatwaa ubingwa wa Simba Super Cup Kombe la Simba Super Cup Klabu ya soka ya Simba SC imeibuka Mabingwa wa michuano ya Simba Super Cup baada ya kufikisha pointi 4 ambazo hazijafikiwa na washiriki wengine Al Hilal na TP Mazembe. Read more about Simba yatwaa ubingwa wa Simba Super Cup