LA Clippers kumkosa Kawhi Leonards
Mlinzi nyota wa Los Angeles Clippers, Kawhi Leonards ataukosa mchezo dhidi ya Atlanta Hawks wa NBA utakaochezwa saa 9:30 alfajiri ya kuamkia kesho Januari 27, 2021 kufuatia taratibu mpya za kujikinga na Covid-19 kumfanya ashindwe kujiunga na timu yake.