LA Clippers kumkosa Kawhi Leonards 

Mlinzi nyota wa LA Clippers, Kawhi Leonards.

Mlinzi nyota wa Los Angeles Clippers, Kawhi Leonards ataukosa mchezo dhidi ya Atlanta Hawks wa NBA utakaochezwa saa 9:30 alfajiri ya kuamkia kesho Januari 27, 2021 kufuatia taratibu mpya za kujikinga na Covid-19 kumfanya ashindwe kujiunga na timu yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS