Jose Mourinho: Delle Ali yupo kwenye mipango yangu
Kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs, Jose Mourinho amemwagia sifa kiungo wake mshambuliaji Delle Ali kwa kuonesha ueledi na tabia nzuri wakati timu yake iliposhuka dimbani usiku wa hapo jana na kuifunga timu ya Marine mabao 5-0 na kutinga hatua ya mtoano ya kombe la FA nchini Uingereza.