Rais Magufuli ataraji kumpokea Rais wa Msumbiji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli akiwa na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Filipe Nyusi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kesho Januari 11, 2021 anatarajia kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Filipe Nyusi katika Uwanja wa Ndege wa Geita uliopo Chato.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS