Moto wateketeza maduka zaidi ya 10 Kagera

Muonekano wa Maduka yaliyoteketea kwa moto.

Moto umeunguza maduka zaidi ya 10 na kuteketeza baadhi ya vitu ni katika majengo yanayomilikiwa na familia ya Nekemia Kazimoto (Kazikomu)  yaliyopo Mji wa kayanga mjini, Karagwe, Kagera mkabara na majengo ya city center na Magereza ya kayanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS