Katibu Mtendaji wa BASATA afariki dunia

Godfrey Mngereza wa pili kutoka kushoto, baada ya kufanya interview kwenye kipindi cha PlanetBongo

Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza amefariki dunia usiku siku ya Disemba 24, huko Jijini Dodoma katika Hospitali ya General ambapo alikuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS