Godfrey Mngereza wa pili kutoka kushoto, baada ya kufanya interview kwenye kipindi cha PlanetBongo
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza amefariki dunia usiku siku ya Disemba 24, huko Jijini Dodoma katika Hospitali ya General ambapo alikuwa amelazwa akipatiwa matibabu.